Waziri mkuu wa Tanzania Mazengo Piter Pinda wa nne kutoka kushoto aliyekaa akiwa kwenye picha ya pamoja na wakaguzi wa ndani na nje mara baada ya kufika katika ukumbi wa aicc mkoani Arusha kwenye mkutano uliojumuisha nchi saba kujadili ni jinsi gani ya kuboresha hali ya ukaguzi nchini kwa watumishi.
UHURU WA VYOMBO VYA HABARI WAZIDI KUDORORA TANZANIA
-
Na Woinde Shizza, Arusha
MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt.
Anna Henga, amesema hali ya uhuru wa vyombo vya habar...
34 minutes ago

No comments:
Post a Comment