Waziri mkuu wa Tanzania Mazengo Piter Pinda wa nne kutoka kushoto aliyekaa akiwa kwenye picha ya pamoja na wakaguzi wa ndani na nje mara baada ya kufika katika ukumbi wa aicc mkoani Arusha kwenye mkutano uliojumuisha nchi saba kujadili ni jinsi gani ya kuboresha hali ya ukaguzi nchini kwa watumishi.
MKUDE ASEMA USALAMA UMETIMIZWA: WANANCHI WATAKIWA KUPIGA KURA KWA AMANI
OKTOBA 29
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Mamlaka za usalama katika Jiji la Arusha zimehakikisha maandalizi yote
muhimu yamekamilika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktob...
6 days ago

No comments:
Post a Comment