Waziri mkuu wa Tanzania Mazengo Piter Pinda wa nne kutoka kushoto aliyekaa akiwa kwenye picha ya pamoja na wakaguzi wa ndani na nje mara baada ya kufika katika ukumbi wa aicc mkoani Arusha kwenye mkutano uliojumuisha nchi saba kujadili ni jinsi gani ya kuboresha hali ya ukaguzi nchini kwa watumishi.
Siasa : Mgombea wa Urais kwa chama cha TLP Akabidhiwa Fomu na INEC
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya
Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa
kuwa ...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment