Waziri mkuu wa Tanzania Mazengo Piter Pinda wa nne kutoka kushoto aliyekaa akiwa kwenye picha ya pamoja na wakaguzi wa ndani na nje mara baada ya kufika katika ukumbi wa aicc mkoani Arusha kwenye mkutano uliojumuisha nchi saba kujadili ni jinsi gani ya kuboresha hali ya ukaguzi nchini kwa watumishi.
Habari : Serikali yasisitiza Usalama ,Mapato Mpakani Mutukula
-
Na Mwandishi Wetu,KAGERA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amehimiza ushirikiano
kati ya watumishi wa serikali waliopo katika Kituo ch...
1 day ago

No comments:
Post a Comment