Mkuu wa wilaya ya Arumeru bw,Nyerembe Munasa akitoa ushauri kwa waendesha toyo kuendesha toyo zao kwa umakini pale wanapokuwa barabarani ili kuondokana na ajali zisizo kuwa za lazima hapa nchini.
Munasa alisema hayo katika uwanja wa sheikh amri Abed Arusha ikiwa ni week ya nenda kwa usalama barabarani kitaifa.
Alisema kuwa kuna baadhi ya waendesha toyo ambao wamekuwa wakisababisha ajali kwani wengi wao huendesha toyo wakiwa wamelewa pombe hata madawa ya kulevya jambo ambalo ni kinyume kabisa na sheria.
Alisisitiza kwamba wale wote ambao wataenda kinyume na sheria watakamatwa na kuchukuliwa sheria.
Teknolojia : TCRA yatoa Ratiba ya mafunzo kwa TBN kuelekea Uchaguzi Mkuu
2025
-
Na Mwandishi Wetu
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeandaa mafunzo maalumu kwa Mtandao
wa Mabloga (TBN) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025...
21 hours ago
No comments:
Post a Comment