Mkuu wa wilaya ya Arumeru bw,Nyerembe Munasa akitoa ushauri kwa waendesha toyo kuendesha toyo zao kwa umakini pale wanapokuwa barabarani ili kuondokana na ajali zisizo kuwa za lazima hapa nchini.
Munasa alisema hayo katika uwanja wa sheikh amri Abed Arusha ikiwa ni week ya nenda kwa usalama barabarani kitaifa.
Alisema kuwa kuna baadhi ya waendesha toyo ambao wamekuwa wakisababisha ajali kwani wengi wao huendesha toyo wakiwa wamelewa pombe hata madawa ya kulevya jambo ambalo ni kinyume kabisa na sheria.
Alisisitiza kwamba wale wote ambao wataenda kinyume na sheria watakamatwa na kuchukuliwa sheria.
Mchengerwa Avunja Mabaraza ya Madiwani, Atangaza Wabaki na Vitendea Kazi
-
Na Woinde Shizza, Arusha
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, ametangaza rasmi kuvunjwa...
5 days ago
0 comments:
Post a Comment