CCM INATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE MUDA HUU,MBIVU NA MBICHI KUJULIKANA LEO
DOREEN BLOG
7/28/2025 06:09:00 pm
Dodoma
Katibu wa Siasa, mafunzo na uenezi CPA Amos Makala anatarijia kutangaza majina ya wagombea Ubunge, udiwani pamoja na nafasi za uwakilishi wa viti maalum kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba 2025.
Tembelea DOREEN BLOG NA DOREEN TV mara kwa mara upate habari motomoto na uhakika.