Waziri wa elimu na mafunzo dk,Shukuru Kawambwa (wa nne kutoka kulia)akiwa kwenye picha ya pamoja na wataalamu kutoka vyuo vikuu nchini walipokutana jijini Arusha kwenye ukumbi wa Naura kwa lengo la kujadili na kubadilishana mawazo juu ya kuendeleza elimu ya juu,na kujadili ni jinsi gani ya kutatua changamoto zinazojitokeza katika sekta ya elimu ya juu nchini.
THBUB YAWAPIKA MSASA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA ARUSHA
-
Na Bora Mustafa Fadhili - Arusha
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendesha mafunzo maalum
kwa waandishi wa habari jijini Arusha, ikiw...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment