Bw,Emmanuel Absolum ambaye ni meneja wa duka la vitabu la Kimahama akieleza umuhimu wa wananchi kujisomea vitabu.
Amesema kuwa kupitia vitabu unapata elimu juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuongeza ujuzi kwa mambo ambayo mwananchi hayajui.
Akielezea lengo la kufungua duka hilo amesema kuwa ni kuwasaidia wakazi wa jiji la Arusha kupata elimu kupitia vitabu sambamba na kujijengea mazoea ya kusoma ujuzi na ufanisi katika kutambua mambo mbalimbali.
Kimataifa : Pinda Ahutubia Kongamano vyama vya Ukombozi akimwakilisha Dkt
Samia Huko Afrika Kusini
-
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Ndg. Mizengo Pinda, amesema ushirikiano na mshikamano wa vya...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment