Bw,Emmanuel Absolum ambaye ni meneja wa duka la vitabu la Kimahama akieleza umuhimu wa wananchi kujisomea vitabu.
Amesema kuwa kupitia vitabu unapata elimu juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuongeza ujuzi kwa mambo ambayo mwananchi hayajui.
Akielezea lengo la kufungua duka hilo amesema kuwa ni kuwasaidia wakazi wa jiji la Arusha kupata elimu kupitia vitabu sambamba na kujijengea mazoea ya kusoma ujuzi na ufanisi katika kutambua mambo mbalimbali.
Tuzo : Mkurugenzi Zahara Michuzi atunukiwa cheti cha Mfanyakazi Hodari Mei
Mosi Maswa
-
Katika shamrashamra za maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, Mei
Mosi, yaliyofanyika katika Uwanja wa Nguzo Nane wilayani Maswa, Mkuu wa
Mk...
3 hours ago
0 comments:
Post a Comment