habari dini
New
Padre Francis Shayo I.C ambaye ni murugenzi wa miito wa shirika la mapendo (Rosminians) Lushoto Tanga akitoa ufafanuzi juu ya vijana wale wenye miito kujitokeza katika kusomea upadre na usister alipokuwa katika kanisa katoloki la Huruma lililopo jijini Tanga.
No comments:
Post a Comment