habari kijamii
New
Meneja wa mjasirimali kwanza enterprises bw,Saravai r.Izini aliyevalia koti jeusi ameinama huku wakiwaelekeza baadhi ya watu waliokuja kujifunza ujasiriamali jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji ambapo semina hiyo il;ifanyika katika ukumbi wa Golden Rose jijini Arusha.
No comments:
Post a Comment