Meneja wa kimahama Emmanuel Absalom akiwa amesimama kwenye duka la vitabu lililo zinduliwa upya na Mkuu wa chuo Habari maalum bw,Jackson Kaluzi, baada ya kuboreshwa na kuwekwa vitabu mbalimbali vya kuvutia ambapo vitabu hivyo ni kama Biblia,vitabu vya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari na vingine vingi vya kuelimisha jamii.
INEC : Vyama vya Siasa Vyahakikishiwa Uwanja sawa katika Uchaguzi Mkuu 2025
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Tume Huru ya Taifa
ya ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment