Baadhi ya Wananchi Mkoani Arusha wakiwa kwenye maandamano ya amani ya kutembeza Tembo ambapo ni siku ya kuazimisha wanyama Duniani.
Matembezi hayo yalihudhuriwa na mamia ya watu jijini hapa ambapo maandamano hayo yalianzia katika ofisi za Tanapa majengo na kuishia katika viwanja vya Aicc
INEC : Vyama vya Siasa Vyahakikishiwa Uwanja sawa katika Uchaguzi Mkuu 2025
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Tume Huru ya Taifa
ya ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment