Baadhi ya Wananchi Mkoani Arusha wakiwa kwenye maandamano ya amani ya kutembeza Tembo ambapo ni siku ya kuazimisha wanyama Duniani.
Matembezi hayo yalihudhuriwa na mamia ya watu jijini hapa ambapo maandamano hayo yalianzia katika ofisi za Tanapa majengo na kuishia katika viwanja vya Aicc
Siasa : Zahara Michuzi Achomoza Ubunge Viti Maalum Tabora
-
KAMATI Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa imempitisha Mkurugenzi Mtendaji
(DED) katika Halmashauri tatu tofauti, Meatu (Simiyu), Ifakara (Morogoro),
n...
17 hours ago
No comments:
Post a Comment