Baadhi ya Wananchi Mkoani Arusha wakiwa kwenye maandamano ya amani ya kutembeza Tembo ambapo ni siku ya kuazimisha wanyama Duniani.
Matembezi hayo yalihudhuriwa na mamia ya watu jijini hapa ambapo maandamano hayo yalianzia katika ofisi za Tanapa majengo na kuishia katika viwanja vya Aicc
MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA YATOA WITO WA ULINZI NA USTAWI WA
WATOTO
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Wadau wa maendeleo ya watoto, viongozi wa Serikali, wazazi na walezi
wamehimizwa kuendelea kushirikiana katika kulinda haki na ...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment