Baahi ya waendesha pikipiki alimaarufu kama toyo jijini Arusha wakiwa katika uwanja wa sheikh Amri Abedi huku wakipewa ushauri na Mkuu wa wilaya ya Arumeru bw.Nyerembe Munasa kuhusu kutumia pikipiki zao vizuri ili kuepukana na ajali zisizo kuwa za lazima ambapo ilikuwa ni week ya nenda kwa usalama barabarani.
Teknolojia : TCRA yatoa Ratiba ya mafunzo kwa TBN kuelekea Uchaguzi Mkuu
2025
-
Na Mwandishi Wetu
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeandaa mafunzo maalumu kwa Mtandao
wa Mabloga (TBN) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025...
21 hours ago
No comments:
Post a Comment