Baahi ya waendesha pikipiki alimaarufu kama toyo jijini Arusha wakiwa katika uwanja wa sheikh Amri Abedi huku wakipewa ushauri na Mkuu wa wilaya ya Arumeru bw.Nyerembe Munasa kuhusu kutumia pikipiki zao vizuri ili kuepukana na ajali zisizo kuwa za lazima ambapo ilikuwa ni week ya nenda kwa usalama barabarani.
MKUDE ASEMA USALAMA UMETIMIZWA: WANANCHI WATAKIWA KUPIGA KURA KWA AMANI
OKTOBA 29
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Mamlaka za usalama katika Jiji la Arusha zimehakikisha maandalizi yote
muhimu yamekamilika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktob...
6 days ago

No comments:
Post a Comment