Hawa ni samaki wekundu kwa jina maarufu(changu mwekundu) smaki hawa wanavutia sana kwa muonekano wao,samaki hawa wanaopatikana katika bahari ya hindi,ambapo samaki hawa hawawezi kupatikana sehemu nyingine kama kwenye maziwa fofauti na kupatikana kwenye maji ya chumvi ya baharini.
Kama wanavyoonekana hapo juu hawa samaki hawjakaushwa wala kukaangwa hapa ni wametolewa baharini kuvuliwa katika sehemu ya uvuvi bahari ya Hindi Mkoani Tanga katika eneo lililopo mkabala kabisa na Radio ya Huruma fm iliyopo ufukweni mwa Bahari.
J
Uchumi : BARRICK- TWIGA Yatoa Gawio la shilingi Bilioni 93.6/- , waibuka
Vinara
-
Meneja wa Barrick nchini, Dk. Melkiory Ngido akimkabidhi mfano wa hundi
shilingi billioni Tsh 93.6 kwa mheshimiwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa
Tanzan...
2 days ago
0 comments:
Post a Comment