Hawa ni samaki wekundu kwa jina maarufu(changu mwekundu) smaki hawa wanavutia sana kwa muonekano wao,samaki hawa wanaopatikana katika bahari ya hindi,ambapo samaki hawa hawawezi kupatikana sehemu nyingine kama kwenye maziwa fofauti na kupatikana kwenye maji ya chumvi ya baharini.
Kama wanavyoonekana hapo juu hawa samaki hawjakaushwa wala kukaangwa hapa ni wametolewa baharini kuvuliwa katika sehemu ya uvuvi bahari ya Hindi Mkoani Tanga katika eneo lililopo mkabala kabisa na Radio ya Huruma fm iliyopo ufukweni mwa Bahari.
J
Maisha : Kikwete Aongoza Wananchi waliojiajiri kujiunga na kujiwekea Akiba
NSSF
-
*Ni katika muendelezo wa kampeni ya elimu kwa umma kuhusu Skimu ya Taifa ya
Hifadhi ya Jamii kwa Wananchi Waliojiajiri Chalinze mkoani Pwani
*NSSF yaahi...
6 hours ago
0 comments:
Post a Comment