Bi Antonia ambaye ni mke wa naibu waziri wa ardhi,nyumba na makazi ambaye pia ni mbunge wa Arumeru Magharibi Goodluck Ole Medeye,yeye ni bi Antonia ni Nesi mstaafu katika hosp ya Mkoa jijini Arusha,ambapo baada ya kustaafu ameamua kufungua ofsi yake ya kutoa huduma mbalimbali za Afya ikiwa ni pamoja na kuwapatia ushauri wale wenye unene na kuwapima kwa kutumia mashine maalumu ,na hapa anampatia mmoja wa akina mama katika ofsi yake iliyopo mianzini barabara ya vumbi,ambapo anamueleza ni jinsi gani anaweza kutumia vyakula bora ili asweze kuwana unene wa tumbo usio kuwa wa lazima,
NILE BLUES YAZINDUA MRADI WA FEEL FREE GRANTS, SERIKALI YATOA TAMKO LA
KUUNGA MKONO
-
Na Woinde Shizza, Arusha
MRADI wa Nile Blues Project umezindua rasmi mpango wa Feel Free Grants
jijini Arusha, ukiwa na lengo la kutumia muziki, sanaa ...
4 days ago

No comments:
Post a Comment