Bi Antonia ambaye ni mke wa naibu waziri wa ardhi,nyumba na makazi ambaye pia ni mbunge wa Arumeru Magharibi Goodluck Ole Medeye,yeye ni bi Antonia ni Nesi mstaafu katika hosp ya Mkoa jijini Arusha,ambapo baada ya kustaafu ameamua kufungua ofsi yake ya kutoa huduma mbalimbali za Afya ikiwa ni pamoja na kuwapatia ushauri wale wenye unene na kuwapima kwa kutumia mashine maalumu ,na hapa anampatia mmoja wa akina mama katika ofsi yake iliyopo mianzini barabara ya vumbi,ambapo anamueleza ni jinsi gani anaweza kutumia vyakula bora ili asweze kuwana unene wa tumbo usio kuwa wa lazima,
MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA YATOA WITO WA ULINZI NA USTAWI WA
WATOTO
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Wadau wa maendeleo ya watoto, viongozi wa Serikali, wazazi na walezi
wamehimizwa kuendelea kushirikiana katika kulinda haki na ...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment