Waziri wa maji Prf,Jumanne Magembe wa kwanza kutoka kulia akiwa ameongozana na Mkurugenzi wa maji AUWSA bi, Ruth koya wa kwanza kutoka kushoto wakiwa na wanazungumza jambo fulani huku wakifuatwa nyuma na wajumbe wa bodi ya maji wakielekea ukumbi wa Auwsa jijini Arusha, ikiwa ni siku ya kuzindua bodi mpya na kuaga bodi iliyomaliza muda wake .
CCM YATAKIWA KUEPUKA MAANDAMANO, KULINDA AMANI NCHINI
-
MAANDAMANO SI SULUHU, CCM WAONYWA
Na Woinde Shizza, Arusha
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Arusha, Ally Mwinyimvua maarufu
kwa jina la Al...
12 minutes ago

No comments:
Post a Comment