Waziri wa maji Prf,Jumanne Magembe wa kwanza kutoka kulia akiwa ameongozana na Mkurugenzi wa maji AUWSA bi, Ruth koya wa kwanza kutoka kushoto wakiwa na wanazungumza jambo fulani huku wakifuatwa nyuma na wajumbe wa bodi ya maji wakielekea ukumbi wa Auwsa jijini Arusha, ikiwa ni siku ya kuzindua bodi mpya na kuaga bodi iliyomaliza muda wake .
Habari : Serikali yasisitiza Usalama ,Mapato Mpakani Mutukula
-
Na Mwandishi Wetu,KAGERA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amehimiza ushirikiano
kati ya watumishi wa serikali waliopo katika Kituo ch...
2 days ago

No comments:
Post a Comment