Waziri wa maji Prf,Jumanne Magembe wa kwanza kutoka kulia akiwa ameongozana na Mkurugenzi wa maji AUWSA bi, Ruth koya wa kwanza kutoka kushoto wakiwa na wanazungumza jambo fulani huku wakifuatwa nyuma na wajumbe wa bodi ya maji wakielekea ukumbi wa Auwsa jijini Arusha, ikiwa ni siku ya kuzindua bodi mpya na kuaga bodi iliyomaliza muda wake .
MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA YATOA WITO WA ULINZI NA USTAWI WA
WATOTO
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Wadau wa maendeleo ya watoto, viongozi wa Serikali, wazazi na walezi
wamehimizwa kuendelea kushirikiana katika kulinda haki na ...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment