Bi Antonia wa kwanza kutoka kulia aliyevalia nguo ya kitenge na mkoba mweupe ambaye ni Mke wa naibu waziri wa ardhi nyumba na makazi na ni mbunge wa Arumeru Magharibi ,Gudluck Ole Medeye akiwa na watoto yatima wa kituo cha Ndoombo kilichopo wilayani Arumeru huku akiwa ameambatana na wafadhili kutoka New yourkbaada ya kufika kuwatembelea watoto hao na kuwapatia msaada wamahitaji mbalimbali.
Mashujaa : Rais Samia Ashiriki Maadhimisho ya Mashujaa Kitaifa katika
Viwanja vya Mashujaa, Mtumba Jijini Dodoma.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Mashujaa, Mtumba Jijini
Dodoma kw...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment