Bi Antonia wa kwanza kutoka kulia aliyevalia nguo ya kitenge na mkoba mweupe ambaye ni Mke wa naibu waziri wa ardhi nyumba na makazi na ni mbunge wa Arumeru Magharibi ,Gudluck Ole Medeye akiwa na watoto yatima wa kituo cha Ndoombo kilichopo wilayani Arumeru huku akiwa ameambatana na wafadhili kutoka New yourkbaada ya kufika kuwatembelea watoto hao na kuwapatia msaada wamahitaji mbalimbali.
MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA YATOA WITO WA ULINZI NA USTAWI WA
WATOTO
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Wadau wa maendeleo ya watoto, viongozi wa Serikali, wazazi na walezi
wamehimizwa kuendelea kushirikiana katika kulinda haki na ...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment