Waziri wa maji Prf,Jumanne Magembe wa pili kutoka kulia,akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi watendaji wa idara ya maji AUWSA,waliosimama nyuma yake,mara baada ya uzinduzi wa bodi mpya jijini Arusha,Na wa kwanza kutoka kulia ni Mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa,wa kwanza kutoka kushoto ni mkurugenzi wa AUWSA bi Ruth koya,na wa pili kutoka kushoto ni mbunge mstaafu wa jiji la Arusha mjini Felix Mrema.
Habari : Serikali yasisitiza Usalama ,Mapato Mpakani Mutukula
-
Na Mwandishi Wetu,KAGERA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amehimiza ushirikiano
kati ya watumishi wa serikali waliopo katika Kituo ch...
1 day ago

No comments:
Post a Comment