Waziri wa maji Prf,Jumanne Magembe wa pili kutoka kulia,akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi watendaji wa idara ya maji AUWSA,waliosimama nyuma yake,mara baada ya uzinduzi wa bodi mpya jijini Arusha,Na wa kwanza kutoka kulia ni Mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa,wa kwanza kutoka kushoto ni mkurugenzi wa AUWSA bi Ruth koya,na wa pili kutoka kushoto ni mbunge mstaafu wa jiji la Arusha mjini Felix Mrema.
CCM YATAKIWA KUEPUKA MAANDAMANO, KULINDA AMANI NCHINI
-
MAANDAMANO SI SULUHU, CCM WAONYWA
Na Woinde Shizza, Arusha
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Arusha, Ally Mwinyimvua maarufu
kwa jina la Al...
14 minutes ago

No comments:
Post a Comment