waziri wa maji Jumanne Magembe akisalimiana na mwenyekiti wa bodi na ni mbunge mstaafu wa Arusha mjini kwa jina la Felix Mrema,baada ya kuwa amefika katika ofsi za idara ya maji wakati wa siku ya uzinduzi wa bodi mpya na kuaga bodi mpya iliyomaliza muda wake.
Mchengerwa Avunja Mabaraza ya Madiwani, Atangaza Wabaki na Vitendea Kazi
-
Na Woinde Shizza, Arusha
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, ametangaza rasmi kuvunjwa...
6 days ago
0 comments:
Post a Comment