waziri wa maji Jumanne Magembe akisalimiana na mwenyekiti wa bodi na ni mbunge mstaafu wa Arusha mjini kwa jina la Felix Mrema,baada ya kuwa amefika katika ofsi za idara ya maji wakati wa siku ya uzinduzi wa bodi mpya na kuaga bodi mpya iliyomaliza muda wake.
Jukwaa la Kitaifa Arusha: Serikali Yasisitiza Ushirikiano Kukabili Uhalifu
Mtandaoni
-
Na Woinde Shizza Arusha
Katika jitihada za kukabiliana na uhalifu wa mtandaoni, Mkurugenzi Mkuu wa
Mamlaka ya Usalama Mtandao nchini, Dkt. Nkundwe Mwas...
3 hours ago
0 comments:
Post a Comment