waziri wa maji Jumanne Magembe akisalimiana na mwenyekiti wa bodi na ni mbunge mstaafu wa Arusha mjini kwa jina la Felix Mrema,baada ya kuwa amefika katika ofsi za idara ya maji wakati wa siku ya uzinduzi wa bodi mpya na kuaga bodi mpya iliyomaliza muda wake.
Habari : Serikali yasisitiza Usalama ,Mapato Mpakani Mutukula
-
Na Mwandishi Wetu,KAGERA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amehimiza ushirikiano
kati ya watumishi wa serikali waliopo katika Kituo ch...
1 day ago

No comments:
Post a Comment