Naibu waziri wa maji Dk.Bilinith Mahenge akihutubia wananchi wa wilaya ya monduli alipokuwa kwenye ziara yake ya maji Mkoani Arusha huku akiwaelezea kuhusu umuhimu wa kutunza vyanzo vya maji .
Naibu waziri wa maji DK.Bilinithi Mahenge wa tatu kutoka kushoto aliyevaa koti jeus akitoa maelezo kwa wakandarasi wa kisima katika wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha mara baada ya kutembelea miradi ya maji wilayani humo.
Teknolojia : TCRA yatoa Ratiba ya mafunzo kwa TBN kuelekea Uchaguzi Mkuu
2025
-
Na Mwandishi Wetu
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeandaa mafunzo maalumu kwa Mtandao
wa Mabloga (TBN) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025...
17 hours ago
No comments:
Post a Comment