Naibu waziri wa maji Dk.Bilinith Mahenge akihutubia wananchi wa wilaya ya monduli alipokuwa kwenye ziara yake ya maji Mkoani Arusha huku akiwaelezea kuhusu umuhimu wa kutunza vyanzo vya maji .
Naibu waziri wa maji DK.Bilinithi Mahenge wa tatu kutoka kushoto aliyevaa koti jeus akitoa maelezo kwa wakandarasi wa kisima katika wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha mara baada ya kutembelea miradi ya maji wilayani humo.
NILE BLUES YAZINDUA MRADI WA FEEL FREE GRANTS, SERIKALI YATOA TAMKO LA
KUUNGA MKONO
-
Na Woinde Shizza, Arusha
MRADI wa Nile Blues Project umezindua rasmi mpango wa Feel Free Grants
jijini Arusha, ukiwa na lengo la kutumia muziki, sanaa ...
3 days ago

No comments:
Post a Comment