Waziri wa maji prf,Jumanne Magembe akiwasisitiza watumishi wa idara ya maji AUWSA kuhusu kuwa makini na kutenga eneo yenye vyanzo vya maji ikiwa ni pamoja na kuwa makini katika kuhakikisha miji hayapotei,wakati wa siku ya kuzindua bodi mpya na kuaga bodi inayomaliza muda wake iliyofanyika jijin Arusha kwenye ofsi za Auwsa
MKUDE ASEMA USALAMA UMETIMIZWA: WANANCHI WATAKIWA KUPIGA KURA KWA AMANI
OKTOBA 29
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Mamlaka za usalama katika Jiji la Arusha zimehakikisha maandalizi yote
muhimu yamekamilika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktob...
6 days ago

No comments:
Post a Comment