Tunashukuru sana kwa hii Wizara ya Vijana iliyoundwa tunaona hata sisi sasa tutafikiwa kwasababu kuna wakati mawazo yetu tulikosa hata pa kuyapeleka kwahiyo kwa ujio wa Wizara hii ya Maendeleo ya Vijana naamini tutaitumia kuwasilisha mawazo na maoni yetu."- Denis Faustine, Mkazi wa Ilala Mkoani Dar Es Salaam akizungumza leo Alhamisi Novemba 20, 2025.
NILE BLUES YAZINDUA MRADI WA FEEL FREE GRANTS, SERIKALI YATOA TAMKO LA
KUUNGA MKONO
-
Na Woinde Shizza, Arusha
MRADI wa Nile Blues Project umezindua rasmi mpango wa Feel Free Grants
jijini Arusha, ukiwa na lengo la kutumia muziki, sanaa ...
3 days ago


No comments:
Post a Comment