Tunashukuru sana kwa hii Wizara ya Vijana iliyoundwa tunaona hata sisi sasa tutafikiwa kwasababu kuna wakati mawazo yetu tulikosa hata pa kuyapeleka kwahiyo kwa ujio wa Wizara hii ya Maendeleo ya Vijana naamini tutaitumia kuwasilisha mawazo na maoni yetu."- Denis Faustine, Mkazi wa Ilala Mkoani Dar Es Salaam akizungumza leo Alhamisi Novemba 20, 2025.
Afya : Makalla Aipongeza Serikali, JKCI yatoa Vipimo Bure kwa Magonjwa ya
Moyo, Arusha.
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla, amesema Serikali ya
Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano w...
2 days ago


No comments:
Post a Comment