Tunashukuru sana kwa hii Wizara ya Vijana iliyoundwa tunaona hata sisi sasa tutafikiwa kwasababu kuna wakati mawazo yetu tulikosa hata pa kuyapeleka kwahiyo kwa ujio wa Wizara hii ya Maendeleo ya Vijana naamini tutaitumia kuwasilisha mawazo na maoni yetu."- Denis Faustine, Mkazi wa Ilala Mkoani Dar Es Salaam akizungumza leo Alhamisi Novemba 20, 2025.
Nishati : Rais Dkt. Samia Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Matanki
ya Kupokea Mafuta Bandari ya Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi
wa Mat...
19 minutes ago


No comments:
Post a Comment