Tunashukuru sana kwa hii Wizara ya Vijana iliyoundwa tunaona hata sisi sasa tutafikiwa kwasababu kuna wakati mawazo yetu tulikosa hata pa kuyapeleka kwahiyo kwa ujio wa Wizara hii ya Maendeleo ya Vijana naamini tutaitumia kuwasilisha mawazo na maoni yetu."- Denis Faustine, Mkazi wa Ilala Mkoani Dar Es Salaam akizungumza leo Alhamisi Novemba 20, 2025.
MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA YATOA WITO WA ULINZI NA USTAWI WA
WATOTO
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Wadau wa maendeleo ya watoto, viongozi wa Serikali, wazazi na walezi
wamehimizwa kuendelea kushirikiana katika kulinda haki na ...
15 hours ago


No comments:
Post a Comment