Tunashukuru sana kwa hii Wizara ya Vijana iliyoundwa tunaona hata sisi sasa tutafikiwa kwasababu kuna wakati mawazo yetu tulikosa hata pa kuyapeleka kwahiyo kwa ujio wa Wizara hii ya Maendeleo ya Vijana naamini tutaitumia kuwasilisha mawazo na maoni yetu."- Denis Faustine, Mkazi wa Ilala Mkoani Dar Es Salaam akizungumza leo Alhamisi Novemba 20, 2025.
UHURU WA VYOMBO VYA HABARI WAZIDI KUDORORA TANZANIA
-
Na Woinde Shizza, Arusha
MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt.
Anna Henga, amesema hali ya uhuru wa vyombo vya habar...
36 minutes ago


No comments:
Post a Comment