Aidha Afande Sele amesisitiza kuwa kutoshiriki ni kujinyima haki ya kikatiba jambo ambalo sio sahihi katika kulijenga Taifa la baadae.
Akizungumza akiwa mkoani Morogoro, Afande Sele amesema vijana wanapaswa kutumia nguvu yao kwa kushiriki katika kupiga kura badala ya kujiingiza kwenye maandamano yanayoandaliwa na watu wasiolitakia mema taifa.


No comments:
Post a Comment