Adbox

Saturday, 23 August 2025

RC. MKOA WA ARUSHA KENAN KIHONGOS ACHUKUA KITI CHA AMOS MAKALLA .


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Kenan Kihongos ametangazwa rasmi kuwa Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo chama cha mapinduzi (CCM).

Akizungumza na vyombo vya Habari makao makuu ya chama cha mapinduzi CCM mara baada ya kutangaza majina ya wagombea ubunge kupitia chama cha mapinduzi CCM, Aliyekuwa katibu wa Itikadi,uenezi na mafunzo Ccm Amos Makala amesema kuwa kuanzia sasa Mh.Kenan Kihongos anachukua nafasi hiyo.



No comments:

Adbox