Adbox

Saturday, 23 August 2025

MH.AESHI HILALY ATANGAZWA RASMI KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SUMBAWANGA MJINI





Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini Aeshi Hilaly ametangwa rasmi kugombea Ubunge akitetea nafasi yake . 

Mh.Aeshi amekuwa kiongozi bora katika kutetea maslah ya wananchi na Taifa kwa ujumla. 

Aeshi amekiwa hodari kuchangia  hoja mbalimbali Bungeni za kuleta maendeleo ndani ya Jimbo lake. 


No comments:

Adbox