Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,kilichoketi leo Agosti 21,2025 Jijini Dodoma kwa ajili ya kufanya uteuzi wa Wagombea Ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Wabunge wa Viti Maalum,Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Viti Maalum.
UHURU WA VYOMBO VYA HABARI WAZIDI KUDORORA TANZANIA
-
Na Woinde Shizza, Arusha
MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt.
Anna Henga, amesema hali ya uhuru wa vyombo vya habar...
33 minutes ago




No comments:
Post a Comment