Hawa ni Baadhi ya Vijana wa Kimaasai katika Kijiji cha Eswira Kata ya Gelai kilichpo ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro wakiimba na kucheza wakati wa sherehe za kumkaribisha mmoja wa wanakijiji Richard Ndorosi kwa kuweza kuanzisha Shirika la Esirwa kwa ajili ya kunusuru kijiji hicho kutokana na changamoto za Kimaendeleo zinazowakabili kijijini hapo ambapo imepelekea wakazi jamii ya wamasai kuteseka kwa muda mrefu bila kupatiwa msaada.
MKUDE ASEMA USALAMA UMETIMIZWA: WANANCHI WATAKIWA KUPIGA KURA KWA AMANI
OKTOBA 29
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Mamlaka za usalama katika Jiji la Arusha zimehakikisha maandalizi yote
muhimu yamekamilika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktob...
6 days ago

No comments:
Post a Comment