Meneja wa Shirika la Esirwa Richard Ndoros akiwaonyesha wananchi wake Barua ya usajili wa Shirika hilo kwa ajili ya kuanza kazi ya kuleta maendeleo katika kijiji cha Esirwa Wilayani Ngorongoro
Ni Baadhi ya akina mama jamii ya wamasai katika kijiji cha Esirwa wakitumbuiza nyimbo zao wakati wa sherehe za kumkaribisha kijana wao Richard Ndorosi kuanzisha Shirika la Esirwa kijijini hapo kwa ajili ya kuleta maendeleo.
INEC : Vyama vya Siasa Vyahakikishiwa Uwanja sawa katika Uchaguzi Mkuu 2025
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Tume Huru ya Taifa
ya ...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment