Meneja wa Shirika la Esirwa Richard Ndoros akiwaonyesha wananchi wake Barua ya usajili wa Shirika hilo kwa ajili ya kuanza kazi ya kuleta maendeleo katika kijiji cha Esirwa Wilayani Ngorongoro
Ni Baadhi ya akina mama jamii ya wamasai katika kijiji cha Esirwa wakitumbuiza nyimbo zao wakati wa sherehe za kumkaribisha kijana wao Richard Ndorosi kuanzisha Shirika la Esirwa kijijini hapo kwa ajili ya kuleta maendeleo.
Nishati : Rais Dkt. Samia Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Matanki
ya Kupokea Mafuta Bandari ya Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi
wa Mat...
19 minutes ago

No comments:
Post a Comment