Tuesday, 22 July 2025

NBC Yakutana na Wateja Wake Wakubwa wa Jijini Arusha, Yajadili Fursa, Ufanisi wa Huduma Zake Kwa wateja.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa kutoka kampuni, wateja binafsi na taasisi mbali mbali (Corporates) wa jijini Arusha ili kujadili fursa za biashara, kutambulisha huduma mpya za benki hiyo sambamba na kuwaejengea uelewa zaidi wateja hao kuhusu faida na manufaa ya huduma hizo. Benki hiyo pia ilitumia fursa hiyo kujadili na wateja hao namna inavyoweza...

Sunday, 20 July 2025

CPA AMOS MAKALA AWATAKA WATIA NIA KUWA WAPOLE TAR. YASOGEZWA MBELE.

Doreen Aloyce, DodomaWALIOTANGAZA nia ya kugombea nafasi ya ubunge na udiwani wametakiwa kuwa wapole kwani mchakato rasmi wa kuwateua wagombea watakao ingia kwenye kura za maoni  tarehe 28 mwezi wa saba tofauti na ilivyokuwa tarehe 19 mwezi huu.Hayo yameelezwa na Katibu wa Chama cha Mapinduzi bh Makala alipokuwa akizungumza na waandishih wa habari juu ya kuhairiahwa tarehe iliyokuwa imepangwa.Makala amesema kuwa kuhahiriahwa kwa ratiba ya awali...

Friday, 18 July 2025

WACHIMBAJI WA MADINI SINGIDA WATAKIWA KUWA MFANO WA UADILIFU NA UZALENDO KATIKA UCHIMBAJI

Na Mwandishi Wetu ,SingidaSerikali kupitia Tume ya Madini imewataka wachimbaji wa madini ya ujenzi, hususan mchanga, mkoani Singida kuhakikisha wanafanya shughuli zao kwa uadilifu, uaminifu na kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni zilizowekwa.Akizungumza wakati wa kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo, Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Singida, Eng. Sabai Nyansiri, amewakumbusha...

Saturday, 12 July 2025

RC TABORA CHACHA ABAINISHA MAFANIKIO YA MKOA IPO BIl. 34.9 HUDUMA ZA AFYA

 DodomaMkoa wa Tabora   umepokea jumla ya Shilingi Bilioni 34.9 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya vituo vya kutolea huduma za Afya za Afya katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora Kitete ikiwemonujenzi wa wodi ya wazazi ya ghorofa mbili itakayo kuwa  mkombozi kwa olkm waishio mijini na Vijini na kupunguza vifo vya wajawazito na watoto...

RC WA MANYARA SENDIGA AZINDUA ZOEZI LA USAMBAZAJI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA BEI YA RUZUKU

ManyaraMkuu wa Mkoa wa Manyara, Mheshimiwa Queen Sendiga, amezindua zoezi la ugawaji wa mitungi ya gesi kwa bei ya ruzuku, ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia na kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa.Uzinduzi huo umefanyika katika viwanja vya stendi ya zamani mjini Katesh, wilaya ya Hanang, ambapo jumla ya mitungi 3,000 iliyokamilika...

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AWATAKA WAGANGA WAKUU NCHINI KUONGEZA JUHUDI KANUNI ZA AFYA

DODOMAMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri kuongeza juhudi katika kutoa hamasa kwa wananchi ili kuzingatia kanuni za afya bora na kuchukua hatua madhubuti za kujikinga na magonjwa ya kuambukiza na yale yasiyo ya kuambukiza.Makamu wa Rais amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa Mwaka...

Thursday, 10 July 2025

RAIS SAMIA KINARA , NISHATI SAFI YA KUPIKIA DUNIANI.

 Aungwa mkono- Eng. SangweniApongeza kasi ya Dkt. Biteko na Uongozi Menejimenti ya Nishati katika kufanikisha Kampeni ya Nishati Safi ya Kupikia.Asifu juhudi za TANESCO  na REA katika kutekeleza  Kampeni ya Nishati Safi ya Kupikia.Atoa Rai kwa Watanzania kuhamia kwenye Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu...

Sunday, 24 July 2016

NAIBU WAZIRI WA UJENZI NA UCHUKUZI ALIPOTEMBELEA CHUO CHA USAFIRISHAJI

 Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Prof. Zacharia Mganilwa akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani alipotembelea Chuo hicho kukagua miundombinu yake.  Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akitoa maelekezo kwa  Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji...

Tuesday, 16 February 2016

OFA YA UPENDO KUTOKA HUAWEI MSIMU HUU WA VALENTINE

Mabalozi wa Huawei wakipozi siku ya uzinduzi wa promotion ya Valentine ya wiki 3 inayoendeshwa na kampuni ya Huawei Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki, Mlimani City Dar es Salaam. Balozi wa Huawei akikabidhi zawadi kwa mteja siku ya uzinduzi wa promotion ya Valentine ya wiki 3 inayoendeshwa na kampuni ya Huawei Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki, Mlimani...

Monday, 25 May 2015

MJUMBE WA HALMASHAURI KUU CHADEMA ,JAFARY MICHAEL AFUNGUA MATAWI MAPYA MOSHI

Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema na meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi katika kata ya Longuo mjini Moshi. Ofisi mpya ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kata ya Longuo B . Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema taifa na meya wa manispaa ya Moshi,Jafary Michael akikata utepe kufungua ofisi mpya...