| Mshindi
wa kwanza kitaifa ni Bw. Peter Assenga kutoka Morogoro aliyejishindia
zawadi ya Gari,hapa akionyesha ufunguo wake katika sherehe
zilizoandaliwa na kampuni ya Banana Investment iliopo jijini Arusha.
Mshindi
wa pili ni Dorothea kutoka Rombo, Tarakea , na Mshindi wa tatu alipata
friji ambae ni Bw. Ibrahim Kikweche kutoka Dar es Salaam. washindi
wengine kutoka Arusha ni Bw. Zefania Kira kutoka Namanga aliyeshishindia
Tv, Bw. Victor Massawe kutoka Mbuguni aliyejishindia Flat Screen Tv,
Bw. Gabriel Shibu Kutoka Ulonga Shangarai |
No comments:
Post a Comment