habari kijamii
New
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Samaria wilayani Arumeru Mashariki Mkoani Arusha wakiwa wanachangia fedha wakimkabidhi mbuge wao Nasari waliyoiandaa kwa ajili yauchimbaji wa visima vya maji tatizo ambalo limewakabili na kuwa kilio kikubwa katika maisha yao ya kila siku.
No comments:
Post a Comment