Edson Mwasabwite kulia ni Faraja Ntaboba kutoka DRC Congo wakionyesha vitu vikubwa kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Mwimbaji
kutoka Kenya Ritha Kisava ambaye ameshiriki Tamasha la Krismas kwa mara
ya kwanza akiimba hii ilikuwa kama utabulisho wake kwa mashabiki wa
muziki wa Injili nchini Tanzania.
Waziri
Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akiteta jambo na mmoja wa waratibu wa
tamasha la Krismas Bw. John Melele wakati wa tamasha hilo.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MBEYA)
UHURU WA VYOMBO VYA HABARI WAZIDI KUDORORA TANZANIA
-
Na Woinde Shizza, Arusha
MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt.
Anna Henga, amesema hali ya uhuru wa vyombo vya habar...
34 minutes ago

No comments:
Post a Comment