Edson Mwasabwite kulia ni Faraja Ntaboba kutoka DRC Congo wakionyesha vitu vikubwa kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Mwimbaji
kutoka Kenya Ritha Kisava ambaye ameshiriki Tamasha la Krismas kwa mara
ya kwanza akiimba hii ilikuwa kama utabulisho wake kwa mashabiki wa
muziki wa Injili nchini Tanzania.
Waziri
Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akiteta jambo na mmoja wa waratibu wa
tamasha la Krismas Bw. John Melele wakati wa tamasha hilo.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MBEYA)
Kitaifa : JK Awasilisha ujumbe wa Rais Samia kwa Rais Museveni wa Uganda
leo Jijini Kampala
-
Pembenzoni mwa Mkutano wa Uongozi wa Afrika wa nane jijini Kampala Uganda
leo, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya
Mu...
13 hours ago
0 comments:
Post a Comment