Adbox

Sunday, 28 December 2014

FREDRICK SUMAYE: KUWENI NA HOFU YA MUNGU, NAYE ATASIKIA MAOMBI YENU KWA TAIFA

12/28/2014 02:08:00 pm


1Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika kuombea taifa la Tanzania yapokelewa na Mungu , Tamasha hilo kesho linaendelea mkoani Iringa ambapo wakazi wa mjini Iringa wanapata nafasi nyingine ya kumcha mungu kwa njia ya uimbaji 2Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana Katibu wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT), David Mwasota kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw Alex Msama 3Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akizindua albam ya Kwaya ya Umoja wa Kwaya ya makanisa mbalimbali jijini Mbeya yenye inayoitwa Mubhopege Pa Finganilo yenye nyimbo nane kulia ni Katibu wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT), David Mwasota na kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw Alex Msama. 4Katibu wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT), Askofu David Mwasota akiiombea albam ya Mubhopege Pa Finganilo ya Kwaya ya Umoja wa Kwaya ya makanisa mbalimbali jijini Mbeya huku Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye,Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw Alex Msama na mmoja wa waratibu wa tamasha la Krismas Bw. John Melele wakishiriki katika maombi hayo. 5Mwimbaji wa muziki wa injili Upendo Nkone akifanya vitu vyake kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya wakati wa tamasha la Krismas leo. 6Mwimbaji Ambwene Mwasongwe naye amesifu na kuabudu pamoja na mashabiki wake kama anavyoonekana akiwa jukwaani. 7Mwimbaji Ambwene Mwasongwe naye amesifu na kuabudu pamoja na mashabiki wake kama anavyoonekana akiwa akitunzwa na mashabiki wake wakati akiimba jukwaani. 10Tumaini Njole na wacheza shoo wake wakiwa angani wakati wakifanya vitu vyao jukwaani. 11Mashabiki walishindwa kukaa chini wakati wote wa tamasha. 14Mwimbaji Joshua Mlelwa akikonga nyoyo za mashabiki wake kwa uchezaji wake jukwaani. 15Mwimbaji Joshua Mlelwa akikonga nyoyo za mashabiki wake kwa uchezaji wake jukwaani. 17Mashabiki wakipata taswira kwa simu zao huku burudani ikiendelea. 18Mwimbaji Emmanuel Mgogo naye amefanya mambo makubwa sana katika tamasha hilo. 20Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akizungumza na mashabiki wa muziki wa injili. 21Mwimbaji Joshua Mlelwa akikonga nyoyo za mashabiki wake kwa uchezaji wake na wacheza shoo wake huyu amekuwa pia akifanya maonesho kama haya Ulaya na Marekani .. 22
Edson Mwasabwite kulia ni Faraja Ntaboba kutoka DRC Congo wakionyesha vitu vikubwa kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. 23Mwimbaji kutoka Kenya Ritha Kisava ambaye ameshiriki Tamasha la Krismas kwa mara ya kwanza akiimba hii ilikuwa kama utabulisho wake kwa mashabiki wa muziki wa Injili nchini Tanzania. 25Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akiteta jambo na mmoja wa waratibu wa tamasha la Krismas Bw. John Melele wakati wa tamasha hilo.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MBEYA)

Wednesday, 12 November 2014

Mkutano wa TCRA na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania wafanyika jijini Dar

11/12/2014 11:11:00 am

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),Prof. John Nkoma akitoa hotuba yake wakati wa ufungumzi wa Mkutano wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania wenye lengo la kutoa mafunzo ya namna ya kutoa taarifa mbali mbali wakati wa Chaguzi mbali mbali hapa nchini,uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam.Picha na Othman Michuzi.
Inginia Andrew Kisaka akitoa Mada katika  Mkutano wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania wenye lengo la kutoa mafunzo ya namna ya kutoa taarifa mbali mbali katika wakati wa Chaguzi mbali mbali hapa nchini.
Sehemu ya Maafisa wa TCRA wakiwa kwenye Mkutano huo.
Moja ya Mada zinazoendeleo kutolewa katika Mkutano huo.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO),Assah Mwambene akitoa hotuba yake wakati  akifunga Mkutano wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania uliokuwa na lengo la kutoa mafunzo ya namna ya kutoa taarifa mbali mbali wakati wa Chaguzi mbali mbali hapa nchini,unaoendelea kufanyika hivi sasa katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Wanablog waliohudhulia Mkutano huo uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam.
Afisa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),Mabel Masasi akizungumza katika Mkutano huo.
Baadhi ya Wanalibeneke wakiendelea kuuliza maswali mbali mbali katika mkutano huo.
Mdau Josephat Lukaza na Dada Shamim Mwasha wakiwa mkutanoni hapo.
Prof. John Nkoma akijibu maswali ya wanablog.

Mdau Fred Njeje akidaka taswira.

Mkutano ukiendelea.
Mdau Henry Mdimu akitoa hoja.
Mdau akitafakari kabla ya kuuliza swali.
Wanablog kazini.


Tuesday, 14 October 2014

TOKOMEZA UJANGILI ,OKOA UTALII WETU WAFANYIKA JIJINI ARUSHA

10/14/2014 05:57:00 pm
 Mhe. Allan Kijazi akipokea mfano wa Tembo katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo.




 Waziri Nyalandu akijadili jambo na muandaaji katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo.
 Nakaaya Sumari katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo.
 Mrisho Mpoto Akijinyoosha .....
 Mrisho Mpoto katikati ya wadau wa TOKOMEZA UJANGILI , OKOA UTALII
 Peter Msechu
 Peter Msechu akitoa Burudani katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo.

 Mrisho Mpoto katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo.
 Peter Msechu katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo.
 Wadau wa Utalii wakipata picha na Peter Msechu katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo.
 Mdau wa utalii akipata picha na Mrisho Mpoto katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo.

 Walter Emmanuel wa Nothern Shots katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo.
Sirili Akko akiongea jambo katika maadhimisho ya TOKOMEZA UJANGILI WA TEMBO ,OKOA UTALII WETU Uliofanyika kwa matembezi na kuhitimishwa katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid , Jijini Arusha Leo. Picha Zote Na Gadiola Emanuel na Walter Emanuel wa Northern Shots 
Adbox