Baadhi ya wanafunzi wa shule ya furaha foundation wakitumbuiza nyimbo zao na kucheza kwa mbwembwe mbele ya huku mgeni Rasmi Waziriwa Mali asili na Utalii Hamis Kagasheki wakati alipokuwa kwenye viwanja vya Aicc Mkoani Arusha mara baada ya kumaliza matembezi ya Tembo yaliyoanzia katika Ofsi za Tanapa.
Ambapo wimbo wao ulihusu kumshukuru waziri Kagasheki kwa kazi yake nzuri anayoifanya,kwa kushirikiana na mashirika ya hifadhi ya Wanyama.
Dini : Mchechu Achangisha zaidi ya milioni 110 Ujenzi wa kanisa Siha,
Kilimanjaro.
-
Kilimanjaro.
Bw. Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina na kiongozi anayejulikana kwa
mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, ameen...
1 day ago
0 comments:
Post a Comment