Hawa ni samaki wekundu kwa jina maarufu(changu mwekundu) smaki hawa wanavutia sana kwa muonekano wao,samaki hawa wanaopatikana katika bahari ya hindi,ambapo samaki hawa hawawezi kupatikana sehemu nyingine kama kwenye maziwa fofauti na kupatikana kwenye maji ya chumvi ya baharini.
Kama wanavyoonekana hapo juu hawa samaki hawjakaushwa wala kukaangwa hapa ni wametolewa baharini kuvuliwa katika sehemu ya uvuvi bahari ya Hindi Mkoani Tanga katika eneo lililopo mkabala kabisa na Radio ya Huruma fm iliyopo ufukweni mwa Bahari.
J
Dini : Mchechu Achangisha zaidi ya milioni 110 Ujenzi wa kanisa Siha,
Kilimanjaro.
-
Kilimanjaro.
Bw. Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina na kiongozi anayejulikana kwa
mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, ameen...
17 hours ago
0 comments:
Post a Comment