Sunday 10 November 2013

MBUNGE NASARI AKIONGOZA HARAMBEE

Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Samaria wilayani Arumeru Mashariki Mkoani Arusha wakiwa wanachangia fedha wakimkabidhi mbuge wao  Nasari  waliyoiandaa kwa ajili yauchimbaji wa visima vya maji tatizo ambalo limewakabili na kuwa kilio kikubwa katika maisha yao ya kila siku.
Categories:

0 comments: