Monday 7 October 2013

WAJASILIAMARI WAKIFUNDISHWA NA MWALIMU WAO.

Meneja wa mjasirimali kwanza enterprises bw,Saravai r.Izini aliyevalia koti jeusi ameinama huku wakiwaelekeza  baadhi ya watu waliokuja kujifunza ujasiriamali jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji ambapo semina hiyo il;ifanyika katika ukumbi wa Golden Rose jijini Arusha.
Categories:

0 comments: