Thursday 3 October 2013

PADRE FRANCIS SHAYO AKITOA MIITO

Padre Francis Shayo I.C ambaye ni murugenzi wa miito wa shirika la mapendo (Rosminians) Lushoto Tanga akitoa ufafanuzi  juu ya vijana wale wenye miito kujitokeza katika kusomea upadre na usister alipokuwa katika kanisa katoloki la Huruma lililopo jijini Tanga.
Categories:

0 comments: