Friday 4 October 2013

MKUU WA MKOA AKIPEWA ZAWADI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha bw,Magesa Mlongo wa kwanza kutoka kulia akikabidhibiwa zawadi na ofsi za Tato mara baada ya kumaliza maandamano ya amani ya utembezi wa tembo kitaifa, ambapo jijini Ausha maadamano hayo yameanzia katika ofis za Tanapa na kuishia kwaenye viwanja vya AICC njiro.
Categories:

0 comments: