Naibu waziri wa maji Dk.Bilinith Mahenge akihutubia wananchi wa wilaya ya monduli alipokuwa kwenye ziara yake ya maji Mkoani Arusha huku akiwaelezea kuhusu umuhimu wa kutunza vyanzo vya maji .
Naibu waziri wa maji DK.Bilinithi Mahenge wa tatu kutoka kushoto aliyevaa koti jeus akitoa maelezo kwa wakandarasi wa kisima katika wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha mara baada ya kutembelea miradi ya maji wilayani humo.
Dini : Mchechu Achangisha zaidi ya milioni 110 Ujenzi wa kanisa Siha,
Kilimanjaro.
-
Kilimanjaro.
Bw. Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina na kiongozi anayejulikana kwa
mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, ameen...
1 day ago
0 comments:
Post a Comment