Wednesday 4 September 2013

Naibu waziri wa maji dk.Mahenge aongea na wananchi

 Naibu waziri wa maji Dk.Bilinith Mahenge akihutubia wananchi wa wilaya ya monduli alipokuwa kwenye ziara yake ya maji Mkoani Arusha huku akiwaelezea kuhusu umuhimu wa kutunza vyanzo vya maji .

Naibu waziri wa maji DK.Bilinithi Mahenge wa tatu kutoka kushoto aliyevaa koti jeus akitoa maelezo kwa wakandarasi wa kisima katika wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha mara baada ya kutembelea miradi ya maji wilayani humo.
Categories:

0 comments: