Meneja wa Shirika la Esirwa Richard Ndoros akiwaonyesha wananchi wake Barua ya usajili wa Shirika hilo kwa ajili ya kuanza kazi ya kuleta maendeleo katika kijiji cha Esirwa Wilayani Ngorongoro
Ni Baadhi ya akina mama jamii ya wamasai katika kijiji cha Esirwa wakitumbuiza nyimbo zao wakati wa sherehe za kumkaribisha kijana wao Richard Ndorosi kuanzisha Shirika la Esirwa kijijini hapo kwa ajili ya kuleta maendeleo.
Dini : Mchechu Achangisha zaidi ya milioni 110 Ujenzi wa kanisa Siha,
Kilimanjaro.
-
Kilimanjaro.
Bw. Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina na kiongozi anayejulikana kwa
mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, ameen...
1 day ago
0 comments:
Post a Comment