Friday 25 July 2014

WAZEE WA MILA WAKISHIKILIA MAJANI YA BARAKA

Meneja wa Shirika la Esirwa Richard Ndoros akiwaonyesha wananchi wake Barua ya usajili wa Shirika hilo kwa ajili ya kuanza kazi ya kuleta maendeleo katika kijiji cha Esirwa Wilayani Ngorongoro
Ni Baadhi ya akina mama jamii ya wamasai katika kijiji cha Esirwa wakitumbuiza nyimbo zao wakati wa sherehe za kumkaribisha kijana wao Richard Ndorosi kuanzisha  Shirika la Esirwa kijijini hapo kwa ajili ya kuleta maendeleo.
Categories:

0 comments: