Wanahabari wa vyombo mbali mbali na
wadau wa habari mkoa wa Iringa wakiwa katika maandamano ya amani
ya kumuenzi aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari
mkoa wa Iringa (IPC) .Picha Zote na Francis Godwin
Maandamano ya wanahabari na wadau wa habari yakipita eneo la soko kuu la manispaa ya Iringa.
Katibu wa IPC Francis Godwin
akiongoza maandamano ya wanahabari na wadau huku akiwa juu ya gari
na picha ya marehemu Daudi Mwangosi.
0 comments:
Post a Comment